Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akimpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na 
mkewe aliyewahi kuwa Miss Tanzania, Faraja Kotta na  familia yake, baada
 ya kuapishwa katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu 
jijini Dar es Salaam, leo. Kulia kwa Makamu ni Naibu Waziri wa Fedha 
Mwigulu Nchemba. 
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Mwigulu Nchemba, kuwa Naibu Waziri wa 
Fedha, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini 
Dar es Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Adam Malima, kuwa Naibu Waziri wa Fedha, 
katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es 
Salaam, leo. 
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Charles Kitwanga, kuwa Naibu Waziri wa 
Nishati na Madini, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya 
Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Amos Makala, kuwa Naibu Waziri wa Maji, 
katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es 
Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Jenista  Mhagama, kuwa Naibu Waziri wa 
Elimu na Mafunzo ya Ufundi, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye 
Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Dkt. Pindi Chana, kuwa Naibu Waziri wa 
Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, katika hafla fupi iliyofanyika 
kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Juma Nkamia, kuwa Naibu Waziri wa Habari, 
Vijana Utamaduni na Michezo, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye 
Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo.
 Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Mahmoud Mgimwa, kuwa Naibu Waziri wa 
Maliasili na Utalii, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya 
Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo.

Rais
 Jakaya Kikwete, akimuapisha Dkt. Asha-Rose Migiro, kuwa Waziri wa 
heria, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini 
Dar es Salaam, leo.
 Makamu
 wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
 akisalimiana na mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Faraja Kotta na 
mumewe Lazaro Nyalandu,baada ya kuapishwa katika hafla fupi iliyofanyika
 kwenye Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, leo. Kulia kwa Makamu ni
 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
 Picha ya pamoja
 Picha ya pamoja
 Sehemu ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo.
kwa hisani ya sufianimafotoblog 



















Post a Comment
0 comments