CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Makao Makuu kimepinga maamuzi ya Kamati ya Utendaji ya Chama hicho Wilaya ya Musoma cha ku...
WANAJESHI WA MAREKANI WAKILI KESI YA KUBAKA MWANAMKE
Wanajeshi wa jeshi la wanamaji la Marekani, wamekubali mashtaka ya kumbaka mwanamke mmoja katika kesi ambayo imeibua hisia kali dh...
WILAYA YA BUTIAMA HAINA HAKIMU WALA MAHAKAMA YA WILAYA
WILAYA ya Butiama mkoani Mara imeelezwa kuwa miongoni mwa Wilaya 26 Nchini zisizokuwa na Mahakama ya Wilaya hivyo kuwa kichocheo cha watu ...
WAKENYA WATAKA UCHAGUZI SALAMA
Mamia ya Wakenya wamehudhuria mkusanyiko wa mwisho wa sala mjini Nairobi, kuomba uchaguzi mkuu wa juma lijalo uwe wa salama. ...
DIWANI CHADEMA AMJIA JUU MBUNGE NYANGWINE KUHUSU TATIZO LA MAJI TARIME
DIWANI wa kata ya Sabasaba iliyopo Wilayani Tarime Christopher Chomete (CHADEMA) amemjia juu Mbunge wa Jimbo la Tarime Nyabali Nyangwine (C...
MGODI WA NORTH MARA WAPOTOSHO KUHUSU MALIPO YA FIDIA YA ARDHI KWA WANANCHI
Uongozi wa Mgodi wa Barrick North Mara unaochimba madini ya dhahabu katika mgodi wa Nyamongo uliopo Wilayani Tarime,umedaiwa kupotosha mae...
POLISI MARA KUPIGIISHANA KWATA NA POLISI TABORA KESHO UWANJA WA ALLY HASSAN MWINYI TABORA
Timu ya maafande wa Polisi Mara mara kesho watapigishana kwata na maafande wenzao wa Polisi Tabora katika mchezo wa mzunguko wa pi...
CHADEMA MUSOMA YAFUKUZA MADIWANI WAWILI,MEYA ATAKIWA KUTOA MAELEZO KWA SIKU 14
KATIKA kuonekana kutaka kuweka sawa Maadili ya Viongozi kwa mujibu wa Katiba,Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Musoma Mjini k...
WANANCHI MUSOMA WAENDELEA KUTOA HOJA ZAO KATIKA KIPINDI CHA MINI BUZZ KINACHORUSHWA NA TBC1
Wakazi wa maeneo mbalimbali ya Manispaa ya musoma na Mkoa wa Mara kwa ujumla wameendelea kutoa hoja zao katika kip...
MFANYAKAZI WA NDANI AUWAWA KWA KUNYONGWA,MUUAJI NAYE AJINYONGA BAADA YA KUJERUHI KWA KISU
MFANYAKAZI wa ndani aliyejulikana kwa jina la Sabina Dominick (21) Mkazi wa Biharamulo Mkoa wa Kagera aliyekuwa anafanya kazi Manispaa ya Mu...
CHADEMA MUSOMA KUMJADILI DIWANI HAPO KESHO
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Manispaa ya Musoma kimeendelea kuwa na kutokuelewana ndani kwa ndani ambapo kesh o wanatarajia...
MWALIMU ATISHIWA KUUWAWA KWA IMANI ZA KISHIRIKINA
Mwalimu wa Shule ya msingi Kinyariri iliyopo Kata ya Buhemba Wilayani Butiama,Ester Nyamung'ona ametishiwa kuuwawa na Wananchi kutokana...
WAHUKUMIWA KUCHAPWA VIBOKO 24 KWA KOSA LA KUBAKA MWANAFUNZI
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mfawidhi ya Wilaya ya Musoma mkoani Mara imetoa adhabu ya kuchapwa viboko 24 kwa watu wawili lucas Wanchek...
JIANDAE KUTOA MAONI YAKO KATIKA MINI BUZZ AMBAYO ITAKUWA MJINI MUSOMA NA TARIME KWA WIKI MOJA KUANZIA JUMATATU YA TAREHE 18 MWEZI WA 2
Timu nzima ya inayoendesha kipindi cha Mini Buzz kinachorushwa kituo cha Televisheni cha TBC1 itakuwa Mjini Musom...
MDAHALO WA KWANZA WA WAGOMBEA URAIS NCHINI KENYA UMEFANYIKA JANA USIKU
Mjadala wa kwanza kati ya wagombea wa urais kuwahi kufanyika Kenya ulifanyika Jumatatu usiku kati ya wagombea 8 wanaowania wadhifa ...
MWANAMKE APIGWA NA MUME KWA KUPELEKA KISADOLINI CHA MAHINDI KANISANI
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Devotha Mwita (27) mkazi wa Kijiji cha Kitasakwa kata ya Bwiregi Wilayani Butiama amepigwa na ku...
PAPA BENEDICT XVI AJIUZULU
Huko Ujerumani, msemaji wa serikali amesema kuwa anaheshimu kazi kubwa iliyofanywa na Papa huyu ...
MADIWANI KUPIMA UKIMWI KABLA YA KUINGIA KWENYE KIKAO
Makamo Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani wa Halimashauri ya Wilaya ya Musoma,Denis Ekwabi alisema katika kikao kijacho cha Baraza la Madiwa...
WANAOISHI NA ULEMAVU WATAKA USHIRIKISHWAJI
Chama cha walemavu Mkoa wa Mara kimeitaka serikali kuhakikisha inawashirikisha walemavu katika vikao muhimu vya kujadili maendeleo ngazi...
BODABODA WACHOMA NYUMBA BAADA YA MWENZAO KUUWAWA HUKU MWINGINE AKIUWAWA KWA WIVU WA MAPENZI
Madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wa mjini Musoma wamechoma nyumba na kuiteketeza kwa kile walichodai mmiliki wa nyumba hiyo al...
POLISI MARA KUIVAA MWADUI YA SHINYANGA KESHO
Timu ya soka ya maafande wa Polisi mara kesho inashuka dimba la kumbukumbu ya karume mjini Musoma kuvaana na timu ya Mwadui kutoka...
TAIFA STARS YAISAMBARATISHA CAMEROON
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, imeandikisha ushindi mwingine mkubwa, pale ilipoilaza Indomitable Lions kutoka Cam...
UBAKAJI WATOTO WAKITHIRI NCHINI INDIA
Shirika la kutetea haki za kibinadamu la Human Rights Watch, limesema kuwa serikali ya India imekosa kabisa kuwalinda watoto kutokana na ...
WAANDISHI WA HABARI NI WATETEZI WAKUBWA WA HAKI ZA BINADAMU
Na Shomari Binda Musoma, Waandishi wa Habari hapa Nchini wameelezewa kuwa ni moja ya watetezi wa kubwa wa Haki za Binadamu kat...
CCM MARA KUFANYIA KAZI MAAZIMIO YA MKUTANO MKUU WA DODOMA
MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MARA CHRIS TOPHER SANYA KUSHOTO AKIJULIA HALI ZA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA DDH MJINI BUNDA Na Shomari Bin...
WANASIASA WATAKIWA KUTOCHOCHEA VURUGU
KAMANDA MWAKYOMA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN TUPPA Na Shomari Binda Musoma, SERIKALI mkoani Mara ilisema kamwe ...
WATU WANNE WAMEUWAWA KATIKA MATUKIO TOFAUTI WILAYA ZA MUSOMA,TARIME NA SERENGETI
Na Shomari Binda Musoma, WATU wa NNE wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti yakiwemo ya kuawa,kujinyonga na kuchomwa kisu ...